9 Sura ya nyuso zao kwa kweli hushuhudia dhidi yao,+ nazo zinaeleza kuhusu dhambi yao kama ile ya Sodoma.+ Hawajaificha. Ole wa nafsi yao! Kwa maana wamejiletea wenyewe msiba.+
12 Kwa maana maasi yetu yamekuwa mengi mbele zako;+ nazo dhambi zetu, kila moja imeshuhudia juu yetu.+ Kwa maana maasi yetu yapo pamoja nasi; nayo makosa yetu tunayajua vema.+