Zaburi 69:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Shutuma imeuvunja moyo wangu, nalo jeraha haliwezi kuponywa.+Nami niliendelea kutumainia mtu fulani aonyeshe kusikitika, lakini hapakuwa na yeyote;+Na watu wa kufariji, lakini sikupata yeyote.+ Yeremia 30:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wale wote wanaokupenda sana ndio wale ambao wamekusahau.+ Si wewe ambaye wanaendelea kukutafuta. Kwa maana nimekupiga kwa pigo la adui,+ kwa adhabu ya mtu mkatili,+ kwa sababu ya wingi wa makosa yako;+ dhambi zako zimekuwa nyingi.+
20 Shutuma imeuvunja moyo wangu, nalo jeraha haliwezi kuponywa.+Nami niliendelea kutumainia mtu fulani aonyeshe kusikitika, lakini hapakuwa na yeyote;+Na watu wa kufariji, lakini sikupata yeyote.+
14 Wale wote wanaokupenda sana ndio wale ambao wamekusahau.+ Si wewe ambaye wanaendelea kukutafuta. Kwa maana nimekupiga kwa pigo la adui,+ kwa adhabu ya mtu mkatili,+ kwa sababu ya wingi wa makosa yako;+ dhambi zako zimekuwa nyingi.+