Isaya 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ni wapi pengine mtakapopigwa tena,+ kwa kuwa mnazidisha maasi?+ Kichwa chote kimo katika hali ya ugonjwa, na moyo wote ni mnyonge.+ Yeremia 8:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Huzuni isiyoweza kutibiwa imeniingia.+ Moyo wangu ni mgonjwa. Maombolezo 5:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa sababu hiyo moyo wetu umekuwa mgonjwa.+ Kwa sababu ya mambo haya macho yetu yameingia giza,+
5 Ni wapi pengine mtakapopigwa tena,+ kwa kuwa mnazidisha maasi?+ Kichwa chote kimo katika hali ya ugonjwa, na moyo wote ni mnyonge.+