21 “ ‘Nitakufanya kuwa vitisho vya ghafula,+ nawe hutakuwapo; nawe utatafutwa,+ lakini hutapatikana tena kamwe mpaka wakati usio na kipimo,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”
36 Nao wanabiashara kati ya vikundi vya watu, hakika watapiga mluzi juu yako.+ Utakuwa vitisho vya ghafula, nawe hutakuwapo tena mpaka wakati usio na kipimo.’ ” ’ ”+