Kutoka 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini, kwa kweli, kwa sababu hii nimekuacha uendelee kuwako,+ ili kukuonyesha nguvu zangu na ili nifanye jina langu litangazwe katika dunia yote.+ Ezekieli 39:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na watu wote wa nchi watalazimika kuzika, na hakika kwao hilo litakuwa jambo lenye sifa katika siku ambayo nitajitukuza mwenyewe,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.
16 Lakini, kwa kweli, kwa sababu hii nimekuacha uendelee kuwako,+ ili kukuonyesha nguvu zangu na ili nifanye jina langu litangazwe katika dunia yote.+
13 Na watu wote wa nchi watalazimika kuzika, na hakika kwao hilo litakuwa jambo lenye sifa katika siku ambayo nitajitukuza mwenyewe,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.