Danieli 10:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na mwili wake ulikuwa kama krisolito,+ na uso wake kama umeme,+ na macho yake kama mienge yenye kuwaka moto,+ na mikono yake na miguu yake ilionekana kama shaba iliyong’arishwa,+ na sauti ya maneno yake ilikuwa kama sauti ya umati. Ufunuo 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 na miguu yake ilikuwa kama shaba safi+ inapowaka katika tanuru; na sauti+ yake ilikuwa kama sauti ya maji mengi.
6 Na mwili wake ulikuwa kama krisolito,+ na uso wake kama umeme,+ na macho yake kama mienge yenye kuwaka moto,+ na mikono yake na miguu yake ilionekana kama shaba iliyong’arishwa,+ na sauti ya maneno yake ilikuwa kama sauti ya umati.
15 na miguu yake ilikuwa kama shaba safi+ inapowaka katika tanuru; na sauti+ yake ilikuwa kama sauti ya maji mengi.