Yeremia 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wamekuwa farasi walioshikwa na nyege, wenye mapumbu yenye nguvu. Kila mmoja wao analia kwa ajili ya mke wa mwenzake.+ Waebrania 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kiwe bila unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.+
8 Wamekuwa farasi walioshikwa na nyege, wenye mapumbu yenye nguvu. Kila mmoja wao analia kwa ajili ya mke wa mwenzake.+
4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kiwe bila unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.+