-
2 Mambo ya Nyakati 7:3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 Na wana wote wa Israeli walikuwa wakitazama wakati moto uliposhuka na utukufu wa Yehova ulipokuwa juu ya nyumba ile, kisha wakainama+ kifudifudi mara moja, juu ya sakafu ya mawe, wakasujudu+ na kumshukuru Yehova, “kwa maana yeye ni mwema,+ kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.”+
-
-
Ezekieli 40:18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Nayo sakafu ya mawe kando ya malango ilikuwa sawa kabisa na urefu wa malango—ile sakafu ya chini ya mawe.
-