Zaburi 78:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Jinsi walivyomwasi mara nyingi nyikani,+Wakamhuzunisha jangwani!+ Isaya 7:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye akasema: “Tafadhali, sikiliza, Ee nyumba ya Daudi. Je, ni jambo dogo kwenu kuwachosha wanadamu, kwamba pia mmchoshe Mungu wangu?+ Isaya 63:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini wao wenyewe waliasi+ na kuihuzunisha roho yake takatifu.+ Sasa alibadilika akawa adui+ yao; yeye mwenyewe alipiga vita juu yao.+
13 Naye akasema: “Tafadhali, sikiliza, Ee nyumba ya Daudi. Je, ni jambo dogo kwenu kuwachosha wanadamu, kwamba pia mmchoshe Mungu wangu?+
10 Lakini wao wenyewe waliasi+ na kuihuzunisha roho yake takatifu.+ Sasa alibadilika akawa adui+ yao; yeye mwenyewe alipiga vita juu yao.+