Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 29:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Naye akapata mimba tena, akazaa mwana kisha akasema: “Mara hii nitamsifu Yehova.” Kwa hiyo akamwita jina lake Yuda.+ Kisha akaacha kuzaa.

  • Yoshua 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na kura+ ya kabila la wana wa Yuda kulingana na familia zao ikawa hadi kwenye mpaka wa Edomu,+ nyika ya Zini,+ hadi Negebu+ mwisho wake wa upande wa kusini.

  • Yoshua 19:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Urithi wa wana wa Simeoni ulitoka katika fungu la wana wa Yuda, kwa sababu fungu la wana wa Yuda lilikuwa kubwa mno kwao.+ Basi wana wa Simeoni wakapata miliki katikati ya urithi wao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki