15Na kura+ ya kabila la wana wa Yuda kulingana na familia zao ikawa hadi kwenye mpaka wa Edomu,+ nyika ya Zini,+ hadi Negebu+ mwisho wake wa upande wa kusini.
9 Urithi wa wana wa Simeoni ulitoka katika fungu la wana wa Yuda, kwa sababu fungu la wana wa Yuda lilikuwa kubwa mno kwao.+ Basi wana wa Simeoni wakapata miliki katikati ya urithi wao.+