Ayubu 39:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kutoka hapo yeye hutafuta chakula;+Macho yake huendelea kutazama mbali sana. Methali 30:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 njia ya tai mbinguni, njia ya nyoka juu ya mwamba, njia ya meli katika moyo wa bahari+ na njia ya mwanamume pamoja na mwanamwali.+ Ezekieli 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na kila mmoja wao alikuwa na nyuso nne.+ Uso wa kwanza ulikuwa uso wa kerubi, na uso wa pili ulikuwa uso wa mtu wa udongo,+ na wa tatu ulikuwa uso wa simba, na wa nne ulikuwa uso wa tai.+
19 njia ya tai mbinguni, njia ya nyoka juu ya mwamba, njia ya meli katika moyo wa bahari+ na njia ya mwanamume pamoja na mwanamwali.+
14 Na kila mmoja wao alikuwa na nyuso nne.+ Uso wa kwanza ulikuwa uso wa kerubi, na uso wa pili ulikuwa uso wa mtu wa udongo,+ na wa tatu ulikuwa uso wa simba, na wa nne ulikuwa uso wa tai.+