6 Utando wao wa buibui hautatumika kama vazi, wala hawatajifunika kwa kazi zao.+ Kazi zao ni kazi zenye madhara, na matendo ya jeuri yako mikononi mwao.+
7 Kama tangi linavyoweka maji yake yakiwa baridi, ndivyo yeye alivyouweka ubaya wake ukiwa baridi. Jeuri na uporaji zimesikiwa ndani yake;+ ugonjwa na tauni ziko mbele za uso wangu sikuzote.