Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 59:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Utando wao wa buibui hautatumika kama vazi, wala hawatajifunika kwa kazi zao.+ Kazi zao ni kazi zenye madhara, na matendo ya jeuri yako mikononi mwao.+

  • Yeremia 6:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kama tangi linavyoweka maji yake yakiwa baridi, ndivyo yeye alivyouweka ubaya wake ukiwa baridi. Jeuri na uporaji zimesikiwa ndani yake;+ ugonjwa na tauni ziko mbele za uso wangu sikuzote.

  • Mika 6:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana watu wake mwenyewe walio matajiri wamejaa jeuri, na wakaaji wake mwenyewe wamesema uwongo,+ na ulimi wao una udanganyifu kinywani mwao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki