Yeremia 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na nyumba zao hakika zitapewa wengine ili wazimiliki, na mashamba na wake vilevile.+ Kwa maana nitanyoosha mkono wangu juu ya wakaaji wa nchi,” asema Yehova.+ Maombolezo 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Fungu la urithi wetu limeenda kwa wageni, nyumba zetu kwa watu wa kutoka ugenini.+
12 Na nyumba zao hakika zitapewa wengine ili wazimiliki, na mashamba na wake vilevile.+ Kwa maana nitanyoosha mkono wangu juu ya wakaaji wa nchi,” asema Yehova.+