Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 15:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na itakuwa kwamba ikiwa watakuambia, ‘Tutoke twende wapi?’ wewe pia uwaambie, ‘Yehova amesema hivi: “Yeyote aliyekusudiwa tauni yenye kufisha, aende kwenye tauni yenye kufisha! Na yeyote aliyekusudiwa upanga, aende kwenye upanga! Na yeyote aliyekusudiwa njaa, aende kwenye njaa!+ Na yeyote aliyekusudiwa kwenda utekwani, aende utekwani!”’+

  • Yeremia 20:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na wewe, Ee Pashuri, na wakaaji wote wa nyumba yako, mtaenda utekwani;+ nawe utafika Babiloni na huko utakufa na huko wewe utazikwa pamoja na wapenzi wako wote,+ kwa sababu umewatolea unabii wa uwongo.’”+

  • Yeremia 44:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Yehova amesema hivi: “Tazama, ninamtia Farao Hofra mfalme wa Misri,+ mkononi mwa adui zake na mkononi mwa wale wanaoitafuta nafsi yake,+ kama nilivyomtia Sedekia mfalme wa Yuda mkononi mwa Nebukadreza mfalme wa Babiloni, adui yake na yeye anayeitafuta nafsi yake.”’”+

  • Yeremia 52:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na baadhi ya watu wa hali ya chini kati ya watu na wale watu wengine walioachwa katika jiji+ na wale waliokimbia wakajiunga na mfalme wa Babiloni na wale wafanyakazi stadi wengine Nebuzaradani mkuu wa walinzi akawapeleka uhamishoni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki