9 “Kwa maana Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Tazama, ninaikomesha kutoka mahali hapa mbele ya macho yenu sauti ya furaha na sauti ya kushangilia, sauti ya bwana-arusi na sauti ya bibi-arusi.’+
5 “Oneni, kati ya mataifa, tazameni, mkaangaliane kwa mshangao.+ Shangaeni; kwa maana kuna utendaji ambao mtu anaufanya katika siku zenu, ambao hamtaamini ijapokuwa unasimuliwa.+