Zaburi 26:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nitaiosha mikono yangu katika kutokuwa na hatia,+Nami nitatembea nikizunguka madhabahu yako, Ee Yehova,+ Isaya 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Jiosheni;+ jisafisheni;+ ondoeni ubaya wa matendo yenu mbele za macho yangu;+ acheni kutenda mabaya.+
6 Nitaiosha mikono yangu katika kutokuwa na hatia,+Nami nitatembea nikizunguka madhabahu yako, Ee Yehova,+
16 Jiosheni;+ jisafisheni;+ ondoeni ubaya wa matendo yenu mbele za macho yangu;+ acheni kutenda mabaya.+