Ezekieli 23:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 “Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kutaniko litaletwa juu yao+ nao watafanywa kuwa kitu chenye kutisha na kitu cha kuporwa.+ Habakuki 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana, tazama, ninawasimamisha Wakaldayo,+ taifa lenye uchungu na lenye haraka, linaloenda kote duniani ili kumiliki makao yasiyo yake.+
46 “Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kutaniko litaletwa juu yao+ nao watafanywa kuwa kitu chenye kutisha na kitu cha kuporwa.+
6 Kwa maana, tazama, ninawasimamisha Wakaldayo,+ taifa lenye uchungu na lenye haraka, linaloenda kote duniani ili kumiliki makao yasiyo yake.+