Isaya 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sikieni,+ enyi mbingu, utege sikio, Ee dunia, kwa maana Yehova mwenyewe amesema: “Nimelea na kukuza wana,+ lakini wao wenyewe wameniasi.+ Ezekieli 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nao, ikiwa watasikia+ au watakataa+—kwa maana wao ni nyumba yenye kuasi+—hakika watajua pia kwamba nabii alikuwako katikati yao.+ Ezekieli 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nimelifanya paji la uso wako kuwa kama almasi, gumu kuliko jiwe gumu.+ Usiwaogope,+ wala usiingiwe na hofu kwa sababu ya nyuso zao,+ kwa maana wao ni nyumba yenye kuasi.”+ Ezekieli 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Mwana wa binadamu, je, wale wa nyumba ya Israeli, nyumba yenye kuasi,+ hawakukuambia, ‘Unafanya nini?’
2 Sikieni,+ enyi mbingu, utege sikio, Ee dunia, kwa maana Yehova mwenyewe amesema: “Nimelea na kukuza wana,+ lakini wao wenyewe wameniasi.+
5 Nao, ikiwa watasikia+ au watakataa+—kwa maana wao ni nyumba yenye kuasi+—hakika watajua pia kwamba nabii alikuwako katikati yao.+
9 Nimelifanya paji la uso wako kuwa kama almasi, gumu kuliko jiwe gumu.+ Usiwaogope,+ wala usiingiwe na hofu kwa sababu ya nyuso zao,+ kwa maana wao ni nyumba yenye kuasi.”+
9 “Mwana wa binadamu, je, wale wa nyumba ya Israeli, nyumba yenye kuasi,+ hawakukuambia, ‘Unafanya nini?’