Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 28:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ingawa Sauli alikuwa akimuuliza Yehova,+ lakini Yehova hakumjibu kamwe,+ ama kwa ndoto+ ama kwa Urimu+ ama kwa manabii.+

  • Methali 15:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Dhabihu ya waovu ni chukizo kwa Yehova,+ lakini sala ya wanyoofu ni furaha kwake.+

  • Methali 28:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Anayegeuzia mbali sikio lake asiisikie sheria+—hata sala yake ni chukizo.+

  • Isaya 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nanyi mnaponyoosha mikono yenu,+ mimi huficha macho yangu kutoka kwenu.+ Hata mjapotoa sala nyingi,+ mimi sisikilizi;+ mikono yenu imejaa umwagaji wa damu.+

  • Ezekieli 14:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Mwana wa binadamu, kuhusu wanaume hawa, wameleta sanamu zao za mavi juu ya mioyo yao, na kikwazo kinachosababisha kosa lao wamekiweka mbele ya nyuso zao.+ Je, watauliza hata kidogo juu yangu?+

  • Mika 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Waonaji+ wataona aibu,+ na waaguzi+ watakata tamaa. Nao wote watafunika masharubu,+ kwa maana hakuna jibu kutoka kwa Mungu.’ ”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki