Danieli 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Nikaendelea kutazama wakati huo kwa sababu ya sauti ya maneno makuu ambayo ile pembe ilikuwa ikisema;+ nikaendelea kutazama mpaka mnyama huyo akauawa na mwili wake ukaharibiwa naye akatupwa katika moto unaowaka.+
11 “Nikaendelea kutazama wakati huo kwa sababu ya sauti ya maneno makuu ambayo ile pembe ilikuwa ikisema;+ nikaendelea kutazama mpaka mnyama huyo akauawa na mwili wake ukaharibiwa naye akatupwa katika moto unaowaka.+