1 Samweli 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi wana wa Eli walikuwa watu wasiofaa kitu;+ hawakumtambua Yehova.+ Yeremia 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Unaketi katikati ya udanganyifu.+ Kupitia udanganyifu wamekataa kunijua mimi,”+ asema Yehova.