30 Utakapokuwa katika dhiki kali na maneno yote haya yawe yamekupata mwishoni mwa siku hizo, basi utarudi kwa Yehova Mungu+ wako na kuisikiliza sauti yake.+
6 Na watu wa Israeli wakaona kwamba wako katika shida kali,+ kwa sababu watu walikuwa wamebanwa sana; na watu wakajificha katika mapango+ na mashimo na miamba na ngome na mashimo ya maji.