1 Samweli 15:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Naye Samweli akasema: “Je, Yehova hupendezwa sana na matoleo ya kuteketezwa+ na dhabihu kuliko kuitii sauti ya Yehova? Tazama! Kutii+ ni bora kuliko dhabihu,+ na kusikiliza kuliko mafuta+ ya kondoo-dume; 1 Yohana 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na kwa jambo hili tunajua kwamba tumemjua yeye, yaani, tukiendelea kuzishika amri zake.+
22 Naye Samweli akasema: “Je, Yehova hupendezwa sana na matoleo ya kuteketezwa+ na dhabihu kuliko kuitii sauti ya Yehova? Tazama! Kutii+ ni bora kuliko dhabihu,+ na kusikiliza kuliko mafuta+ ya kondoo-dume;