4 Nayo majina yao yalikuwa Ohola, yule mkubwa na Oholiba dada yake, nao wakaja kuwa wangu+ na kuanza kuzaa wana na mabinti.+ Nayo majina yao, Ohola ni Samaria,+ na Oholiba ni Yerusalemu.+
11 “Dada yake Oholiba alipoona jambo hilo,+ basi akatimiza tamaa yake ya kimwili kwa uharibifu mkubwa kuliko yeye, na ukahaba wake mwingi kuliko uasherati wa dada yake.+