3 Na hasira+ ya Yehova ikawaka juu ya Israeli, hivi kwamba akawatia mkononi mwa Hazaeli+ mfalme wa Siria na mkononi mwa Ben-hadadi+ mwana wa Hazaeli siku zao zote.
19 Pulu+ mfalme wa Ashuru+ akaingia katika nchi. Basi Menahemu akampa+ Pulu talanta elfu moja za fedha,+ ili mikono yake iwe pamoja naye kuimarisha ufalme mkononi mwake.+