Yeremia 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wamepanda ngano, lakini wamevuna miiba.+ Wamefanya kazi mpaka wakawa wagonjwa; hawatakuwa na faida yoyote.+ Nao hakika wataona aibu kwa ajili ya mazao yenu kwa sababu ya hasira ya Yehova inayowaka.”
13 Wamepanda ngano, lakini wamevuna miiba.+ Wamefanya kazi mpaka wakawa wagonjwa; hawatakuwa na faida yoyote.+ Nao hakika wataona aibu kwa ajili ya mazao yenu kwa sababu ya hasira ya Yehova inayowaka.”