16 Nao wakaanza kurudi, lakini hawakurudi kwenye ibada ya kweli;+ walikuwa wamekuwa kama upinde uliolegea.+ Wakuu wao wataanguka kwa upanga kwa sababu ya shutuma za ulimi wao.+ Hiyo itakuwa ni dhihaka yao katika nchi ya Misri.”+
13 Walizidi kunitolea dhabihu ya nyama kuwa dhabihu za zawadi,+ nao wakaendelea kula vitu ambavyo Yehova hakufurahia.+ Sasa atakumbuka kosa lao na kutoza hesabu kwa sababu ya dhambi zao.+ Ndipo wao waliporudi Misri.+