Mambo ya Walawi 26:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Nami nitawatawanya ninyi katikati ya mataifa,+ nami nitauchomoa upanga nyuma yenu;+ nayo nchi yenu itakuwa ukiwa,+ na majiji yenu yatakuwa bomoko lenye ukiwa. 2 Wafalme 17:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa hiyo Yehova akakasirikia+ Israeli sana, hivi kwamba akawaondoa machoni pake.+ Hakuacha yeyote abaki isipokuwa kabila la Yuda peke yake.+ Zaburi 78:60 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 60 Naye mwishowe akaiacha maskani ya Shilo,+Lile hema ambalo alikaa ndani yake katikati ya watu wa udongo.+ Amosi 5:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Nami nitawafanya mwende uhamishoni ng’ambo ya Damasko,’+ yeye ambaye jina lake ni Yehova Mungu wa majeshi, amesema.”+
33 Nami nitawatawanya ninyi katikati ya mataifa,+ nami nitauchomoa upanga nyuma yenu;+ nayo nchi yenu itakuwa ukiwa,+ na majiji yenu yatakuwa bomoko lenye ukiwa.
18 Kwa hiyo Yehova akakasirikia+ Israeli sana, hivi kwamba akawaondoa machoni pake.+ Hakuacha yeyote abaki isipokuwa kabila la Yuda peke yake.+
60 Naye mwishowe akaiacha maskani ya Shilo,+Lile hema ambalo alikaa ndani yake katikati ya watu wa udongo.+
27 Nami nitawafanya mwende uhamishoni ng’ambo ya Damasko,’+ yeye ambaye jina lake ni Yehova Mungu wa majeshi, amesema.”+