Yeremia 51:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Majiji yake yamekuwa kitu cha kushangaza, nchi isiyo na maji na nchi tambarare ya jangwani.+ Kama nchi, ndani yao hakuna mtu atakayekaa, na katikati yao hakuna mwana wa binadamu atakayepita.+
43 Majiji yake yamekuwa kitu cha kushangaza, nchi isiyo na maji na nchi tambarare ya jangwani.+ Kama nchi, ndani yao hakuna mtu atakayekaa, na katikati yao hakuna mwana wa binadamu atakayepita.+