Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Aliendelea kumfanya apande juu ya mahali pa juu pa dunia,+

      Hivi kwamba akala mazao ya shamba.+

      Naye akaendelea kumfanya anyonye asali kutoka katika mwamba,+

      Na mafuta kutoka katika jiwe gumu;+

  • Nehemia 9:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Nao wakaanza kuteka majiji yenye ngome+ na udongo mnono+ na kumiliki nyumba zilizojaa vitu vyote vyema,+ matangi yaliyochimbwa chini,+ mashamba ya mizabibu na ya mizeituni+ na miti ya vyakula kwa wingi, nao wakaanza kula na kushiba+ na kunenepa+ na kufanikiwa katika wema wako mkubwa.+

  • Luka 15:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Aliporudiwa na fahamu zake, akasema, ‘Ni watu wangapi aliowakodi baba yangu ambao wana mkate kwa wingi, na huku mimi ninaangamia hapa kwa njaa kali!

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki