Kutoka 20:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Mimi ni Yehova Mungu wako,+ ambaye nimekutoa katika nchi ya Misri, katika nyumba ya watumwa.+ Mambo ya Walawi 11:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Kwa maana mimi ni Yehova anayewaongoza ninyi kutoka katika nchi ya Misri ili kujionyesha kuwa Mungu kwenu;+ nanyi mtakuwa watakatifu,+ kwa sababu mimi ni mtakatifu.+ Zaburi 81:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mimi, Yehova, ni Mungu wako,+Yule anayekutoa katika nchi ya Misri.+Fungua wazi kinywa chako, nami nitakijaza.+ Hosea 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Lakini mimi ni Yehova Mungu wako kuanzia nchi ya Misri.+ Na bado nitakufanya ukae katika mahema kama katika siku za wakati uliowekwa.
45 Kwa maana mimi ni Yehova anayewaongoza ninyi kutoka katika nchi ya Misri ili kujionyesha kuwa Mungu kwenu;+ nanyi mtakuwa watakatifu,+ kwa sababu mimi ni mtakatifu.+
10 Mimi, Yehova, ni Mungu wako,+Yule anayekutoa katika nchi ya Misri.+Fungua wazi kinywa chako, nami nitakijaza.+
9 “Lakini mimi ni Yehova Mungu wako kuanzia nchi ya Misri.+ Na bado nitakufanya ukae katika mahema kama katika siku za wakati uliowekwa.