Kumbukumbu la Torati 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 jiangalie usije ukamsahau+ Yehova, aliyekutoa katika nchi ya Misri, kutoka katika nyumba ya watumwa. Kumbukumbu la Torati 32:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mwamba aliyekuzaa wewe, ulimsahau,+Nawe ukaanza kumwondoa Mungu katika kumbukumbu, yule anayekutokeza kwa uchungu wa kuzaa.+ Methali 30:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 nisije nikashiba nikakukana,+ nikasema: “Yehova ni nani?”+ wala nisiwe maskini, nikaiba na kulishambulia jina la Mungu wangu.+ Isaya 17:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana umemsahau+ Mungu wa wokovu wako;+ nawe hukumkumbuka Mwamba+ wa ngome yako. Ndiyo sababu unapanda mashamba makubwa yenye kupendeza, nawe unayaweka chipukizi la mgeni.
12 jiangalie usije ukamsahau+ Yehova, aliyekutoa katika nchi ya Misri, kutoka katika nyumba ya watumwa.
18 Mwamba aliyekuzaa wewe, ulimsahau,+Nawe ukaanza kumwondoa Mungu katika kumbukumbu, yule anayekutokeza kwa uchungu wa kuzaa.+
9 nisije nikashiba nikakukana,+ nikasema: “Yehova ni nani?”+ wala nisiwe maskini, nikaiba na kulishambulia jina la Mungu wangu.+
10 Kwa maana umemsahau+ Mungu wa wokovu wako;+ nawe hukumkumbuka Mwamba+ wa ngome yako. Ndiyo sababu unapanda mashamba makubwa yenye kupendeza, nawe unayaweka chipukizi la mgeni.