Isaya 26:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Wafu wako wataishi.+ Maiti wangu—wataamka.+ Amkeni, pigeni vigelegele kwa shangwe, enyi mnaokaa mavumbini!+ Kwa maana umande+ wako ni kama umande wa miholi,+ na dunia itawaacha hata wale wasiojiweza katika kifo waanguke katika kuzaliwa.+ 1 Wakorintho 15:55 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 “Kifo, uko wapi ushindi wako? Kifo, uko wapi mchomo wako?”+
19 “Wafu wako wataishi.+ Maiti wangu—wataamka.+ Amkeni, pigeni vigelegele kwa shangwe, enyi mnaokaa mavumbini!+ Kwa maana umande+ wako ni kama umande wa miholi,+ na dunia itawaacha hata wale wasiojiweza katika kifo waanguke katika kuzaliwa.+