Mwanzo 41:52 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 Naye yule wa pili akamwita jina lake Efraimu,+ kwa sababu, kama alivyosema, “Mungu ameniwezesha kuwa na uzao katika nchi ya taabu yangu.”+ Mwanzo 48:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Lakini baba yake akaendelea kukataa, akisema: “Najua, mwanangu, najua. Yeye pia atakuwa kikundi cha watu naye pia atakuwa mkuu.+ Lakini, ndugu yake mdogo atakuwa mkuu kuliko yeye,+ nao uzao wake utakuwa hesabu kamili ya mataifa.”+
52 Naye yule wa pili akamwita jina lake Efraimu,+ kwa sababu, kama alivyosema, “Mungu ameniwezesha kuwa na uzao katika nchi ya taabu yangu.”+
19 Lakini baba yake akaendelea kukataa, akisema: “Najua, mwanangu, najua. Yeye pia atakuwa kikundi cha watu naye pia atakuwa mkuu.+ Lakini, ndugu yake mdogo atakuwa mkuu kuliko yeye,+ nao uzao wake utakuwa hesabu kamili ya mataifa.”+