Kutoka 9:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 tazama! mkono wa Yehova+ utakuja juu ya mifugo+ yako iliyo shambani. Kutakuwa na tauni kali sana+ juu ya farasi, punda, ngamia, mifugo na makundi. Kumbukumbu la Torati 28:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “Yehova atakupiga kwa jipu la Misri+ na bawasiri na ukurutu na upele wa ngozi, nawe hutaweza kupona magonjwa hayo. Kumbukumbu la Torati 28:60 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 60 Naye atarudisha juu yako magonjwa yote ya Misri ambayo ulihofu mbele yake, nayo yatajishikilia kwako.+ Zaburi 78:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Akatayarisha njia kwa ajili ya hasira yake.+Hakuzuia nafsi zao zisipatwe na kifo;Nayo maisha yao akayatia kwenye tauni.+
3 tazama! mkono wa Yehova+ utakuja juu ya mifugo+ yako iliyo shambani. Kutakuwa na tauni kali sana+ juu ya farasi, punda, ngamia, mifugo na makundi.
27 “Yehova atakupiga kwa jipu la Misri+ na bawasiri na ukurutu na upele wa ngozi, nawe hutaweza kupona magonjwa hayo.
60 Naye atarudisha juu yako magonjwa yote ya Misri ambayo ulihofu mbele yake, nayo yatajishikilia kwako.+
50 Akatayarisha njia kwa ajili ya hasira yake.+Hakuzuia nafsi zao zisipatwe na kifo;Nayo maisha yao akayatia kwenye tauni.+