Amosi 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wala msitafute Betheli,+ wala msiende Gilgali,+ wala msivuke Beer-sheba;+ kwa sababu Gilgali litakwenda uhamishoni;+ Betheli nalo litakuwa kitu cha uchawi.+ Amosi 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Basi sasa wataenda uhamishoni wakiwa mbele ya wale wanaoenda uhamishoni,+ na karamu za kupindukia za wale wanaojitandaza zitaondoka.
5 Wala msitafute Betheli,+ wala msiende Gilgali,+ wala msivuke Beer-sheba;+ kwa sababu Gilgali litakwenda uhamishoni;+ Betheli nalo litakuwa kitu cha uchawi.+
7 “Basi sasa wataenda uhamishoni wakiwa mbele ya wale wanaoenda uhamishoni,+ na karamu za kupindukia za wale wanaojitandaza zitaondoka.