Amosi 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Kwa hiyo hayo ndiyo nitakayokutendea, Ee Israeli. Kwa sababu nitakutendea mambo hayo, jitayarishe kukutana na Mungu wako,+ Ee Israeli. Amosi 7:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ndipo Yehova akaniambia: “Unaona nini, Amosi?” Basi nikasema: “Timazi.” Yehova akaendelea kusema: “Tazama, naweka timazi katikati ya watu wangu Israeli.+ Nami sitawasamehe zaidi tena.+
12 “Kwa hiyo hayo ndiyo nitakayokutendea, Ee Israeli. Kwa sababu nitakutendea mambo hayo, jitayarishe kukutana na Mungu wako,+ Ee Israeli.
8 Ndipo Yehova akaniambia: “Unaona nini, Amosi?” Basi nikasema: “Timazi.” Yehova akaendelea kusema: “Tazama, naweka timazi katikati ya watu wangu Israeli.+ Nami sitawasamehe zaidi tena.+