Methali 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mizani ya udanganyifu ni chukizo kwa Yehova,+ lakini jiwe kamili la mizani ni furaha kwake. Methali 20:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Aina mbili za mawe ya mizani ni chukizo kwa Yehova,+ na mizani ya kudanganya si nzuri.+ Hosea 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mfanya-biashara ana mizani ya udanganyifu mkononi mwake;+ amependa kupunja.+