Yeremia 31:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana kuna siku ambayo walinzi walio katika eneo lenye milima la Efraimu wataita, ‘Simameni, twende Sayuni, kwa Yehova Mungu wetu.’”+ Yoeli 2:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Na itakuwa kwamba kila mtu anayeliitia jina la Yehova ataokoka;+ kwa maana katika Mlima Sayuni na katika Yerusalemu kutakuwako wale walioponyoka,+ kama vile ambavyo Yehova amesema, na kati ya waokokaji, ambao Yehova anaita.”+
6 Kwa maana kuna siku ambayo walinzi walio katika eneo lenye milima la Efraimu wataita, ‘Simameni, twende Sayuni, kwa Yehova Mungu wetu.’”+
32 Na itakuwa kwamba kila mtu anayeliitia jina la Yehova ataokoka;+ kwa maana katika Mlima Sayuni na katika Yerusalemu kutakuwako wale walioponyoka,+ kama vile ambavyo Yehova amesema, na kati ya waokokaji, ambao Yehova anaita.”+