Zaburi 115:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini Mungu wetu yuko mbinguni;+Kila kitu ambacho alipendezwa kufanya, amekifanya.+ Zaburi 135:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kila kitu ambacho Yehova alipendezwa kufanya, amefanya+Mbinguni na duniani, baharini na katika vilindi vyote vya maji.+ Danieli 4:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na wakaaji wote wa dunia wanaonwa kuwa si kitu,+ naye anafanya kulingana na mapenzi yake kati ya majeshi ya mbinguni na wakaaji wa dunia.+ Wala hakuna yeyote anayeweza kuzuia mkono wake+ au anayeweza kumuuliza, ‘Umekuwa ukifanya nini?’+
6 Kila kitu ambacho Yehova alipendezwa kufanya, amefanya+Mbinguni na duniani, baharini na katika vilindi vyote vya maji.+
35 Na wakaaji wote wa dunia wanaonwa kuwa si kitu,+ naye anafanya kulingana na mapenzi yake kati ya majeshi ya mbinguni na wakaaji wa dunia.+ Wala hakuna yeyote anayeweza kuzuia mkono wake+ au anayeweza kumuuliza, ‘Umekuwa ukifanya nini?’+