Ezekieli 9:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na, tazama! yule mwanamume aliyevaa kitani, ambaye alikuwa na kidau cha wino kiunoni, akaleta neno, na kusema: “Nimefanya kama ulivyoniamuru.”+ Yona 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini mimi, kwa sauti ya kutoa shukrani nitakutolea dhabihu.+Nilichoweka nadhiri, nitakitimiza.+ Wokovu ni wa Yehova.”+
11 Na, tazama! yule mwanamume aliyevaa kitani, ambaye alikuwa na kidau cha wino kiunoni, akaleta neno, na kusema: “Nimefanya kama ulivyoniamuru.”+
9 Lakini mimi, kwa sauti ya kutoa shukrani nitakutolea dhabihu.+Nilichoweka nadhiri, nitakitimiza.+ Wokovu ni wa Yehova.”+