Isaya 11:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na roho ya Yehova itatua juu yake,+ roho ya hekima+ na ya uelewaji,+ roho ya shauri na ya nguvu,+ roho ya ujuzi+ na ya kumwogopa Yehova;+ Zekaria 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi akajibu na kuniambia: “Hili ndilo neno la Yehova kwa Zerubabeli, akisema, “Si kwa jeshi,+ wala kwa nguvu,+ bali kwa roho yangu,”+ Yehova wa majeshi amesema. Matendo 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ndipo Petro, akiwa amejazwa roho takatifu,+ akawaambia: “Watawala wa watu na wanaume wazee, 1 Wakorintho 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 na maneno yangu na mambo niliyohubiri hayakuwa kwa maneno yenye kushawishi ya hekima bali kwa wonyesho wa roho na nguvu,+
2 Na roho ya Yehova itatua juu yake,+ roho ya hekima+ na ya uelewaji,+ roho ya shauri na ya nguvu,+ roho ya ujuzi+ na ya kumwogopa Yehova;+
6 Basi akajibu na kuniambia: “Hili ndilo neno la Yehova kwa Zerubabeli, akisema, “Si kwa jeshi,+ wala kwa nguvu,+ bali kwa roho yangu,”+ Yehova wa majeshi amesema.
4 na maneno yangu na mambo niliyohubiri hayakuwa kwa maneno yenye kushawishi ya hekima bali kwa wonyesho wa roho na nguvu,+