10 Enyi watu wangu waliopurwa na mwana wa uwanja wangu wa kupuria,+ nimewaletea ninyi habari za yale ambayo nimeyasikia kutoka kwa Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli.
17 Sepetu yake ya kupepetea imo mkononi mwake ili kuusafisha kabisa uwanja wake wa kupuria na kukusanya+ ngano ndani ya ghala lake, lakini makapi+ atayateketeza kwa moto+ usioweza kuzimwa.”