7 “Kumbuka: Usisahau jinsi ambavyo umemchokoza Yehova Mungu wako nyikani.+ Tangu siku uliyotoka katika nchi ya Misri mpaka mlipofika mahali hapa ninyi mmekuwa wenye tabia ya kumwasi Yehova.+
11 Kwa hiyo endeleeni kukumbuka akilini kwamba hapo zamani mlikuwa watu wa mataifa kwa habari ya mwili;+ “kutotahiriwa” ndivyo mlivyoitwa na kile kinachoitwa “kutahiriwa” ambacho kimefanywa mwilini kwa mikono+—