10 Ndipo hasira ya Balaki ikawaka juu ya Balaamu naye akapiga makofi,+ naye Balaki akamwambia Balaamu: “Nilikuita ili uwalaani+ adui zangu, na, tazama! umewabariki kabisa mara hizi tatu.
14 “ ‘Hata hivyo, nina mambo machache dhidi yako, kwamba unao hapo wale wanaolishika sana fundisho la Balaamu,+ aliyemfundisha Balaki+ kuweka kikwazo mbele ya wana wa Israeli, ili wale vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu na kufanya uasherati.+