Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 23:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kisha akaanza neno lake la kimethali+ na kusema:

      “Kutoka Aramu+ Balaki mfalme wa Moabu alijaribu kuniongoza,

      Kutoka katika milima ya mashariki:

      ‘Njoo, mlaani Yakobo kwa ajili yangu.

      Naam, njoo, washutumu Israeli.’+

  • Hesabu 24:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ndipo hasira ya Balaki ikawaka juu ya Balaamu naye akapiga makofi,+ naye Balaki akamwambia Balaamu: “Nilikuita ili uwalaani+ adui zangu, na, tazama! umewabariki kabisa mara hizi tatu.

  • Yoshua 24:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nami sikutaka kumsikiliza Balaamu.+ Basi akawabariki ninyi tena na tena.+ Hivyo nikawakomboa kutoka mkononi mwake.+

  • 2 Petro 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Wameiacha njia iliyo nyoofu, wamepotoshwa. Wameifuata njia ya Balaamu,+ mwana wa Beori, aliyependa thawabu ya kutenda makosa,+

  • Ufunuo 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “ ‘Hata hivyo, nina mambo machache dhidi yako, kwamba unao hapo wale wanaolishika sana fundisho la Balaamu,+ aliyemfundisha Balaki+ kuweka kikwazo mbele ya wana wa Israeli, ili wale vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu na kufanya uasherati.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki