Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 “Utapeleka mbegu nyingi shambani, lakini utakusanya chache,+ kwa sababu nzige wataimeza.+

  • Yeremia 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wamepanda ngano, lakini wamevuna miiba.+ Wamefanya kazi mpaka wakawa wagonjwa; hawatakuwa na faida yoyote.+ Nao hakika wataona aibu kwa ajili ya mazao yenu kwa sababu ya hasira ya Yehova inayowaka.”

  • Yoeli 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Shamba limeporwa,+ nchi imeomboleza;+ kwa maana nafaka imeporwa, divai mpya imekauka,+ mafuta yamekauka.+

  • Amosi 5:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Basi, kwa sababu mnamtoza mtu wa hali ya chini kodi ya shamba,+ nanyi mnaendelea kuchukua kutoka kwake ushuru wa nafaka; mmejenga nyumba za mawe yaliyochongwa,+ lakini hamtaendelea kukaa ndani yake; nanyi mmepanda mashamba ya mizabibu yenye kupendeza, lakini hamtaendelea kunywa divai yake.+

  • Hagai 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mmepanda mbegu nyingi, lakini mavuno ni kidogo.+ Mnakula chakula, lakini hamshibi.+ Mnakunywa, lakini hamlewi. Mnavaa nguo, lakini hakuna yeyote anayepata joto; na yeye anayeajiriwa, anaajiriwa kwa ajili ya mfuko wenye matundu.’ ”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki