Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Uniokoe,+ Ee Yehova, kwa maana mshikamanifu amefikia mwisho;+

      Kwa maana watu waaminifu wametoweka kutoka katikati ya wana wa binadamu.

  • Zaburi 14:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Asiye na akili amesema katika moyo wake:

      “Hakuna Yehova.”+

      Wametenda kwa uharibifu,+ wametenda kwa njia yenye kuchukiza katika shughuli zao.

      Hakuna yeyote anayefanya mema.+

  • Isaya 57:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 57 Mwadilifu ameangamia,+ lakini hakuna anayeweka jambo hilo moyoni.+ Na watu wa fadhili zenye upendo wanakusanywa kwa wafu,+ hali hakuna anayetambua kuwa ni kwa sababu ya msiba kwamba mwadilifu amekusanywa.+

  • Waroma 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 kama ilivyoandikwa: “Hakuna mwanadamu mwadilifu, hakuna hata mmoja;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki