Zaburi 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Uniokoe,+ Ee Yehova, kwa maana mshikamanifu amefikia mwisho;+Kwa maana watu waaminifu wametoweka kutoka katikati ya wana wa binadamu. Zaburi 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Asiye na akili amesema katika moyo wake:“Hakuna Yehova.”+Wametenda kwa uharibifu,+ wametenda kwa njia yenye kuchukiza katika shughuli zao.Hakuna yeyote anayefanya mema.+ Isaya 57:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 57 Mwadilifu ameangamia,+ lakini hakuna anayeweka jambo hilo moyoni.+ Na watu wa fadhili zenye upendo wanakusanywa kwa wafu,+ hali hakuna anayetambua kuwa ni kwa sababu ya msiba kwamba mwadilifu amekusanywa.+ Waroma 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 kama ilivyoandikwa: “Hakuna mwanadamu mwadilifu, hakuna hata mmoja;+
12 Uniokoe,+ Ee Yehova, kwa maana mshikamanifu amefikia mwisho;+Kwa maana watu waaminifu wametoweka kutoka katikati ya wana wa binadamu.
14 Asiye na akili amesema katika moyo wake:“Hakuna Yehova.”+Wametenda kwa uharibifu,+ wametenda kwa njia yenye kuchukiza katika shughuli zao.Hakuna yeyote anayefanya mema.+
57 Mwadilifu ameangamia,+ lakini hakuna anayeweka jambo hilo moyoni.+ Na watu wa fadhili zenye upendo wanakusanywa kwa wafu,+ hali hakuna anayetambua kuwa ni kwa sababu ya msiba kwamba mwadilifu amekusanywa.+