Nehemia 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Mwishowe nikawaambia: “Ninyi mnaona hali mbaya tuliyo nayo, jinsi ambavyo Yerusalemu limeharibiwa na malango yake kuteketezwa kwa moto. Njooni tujenge upya ukuta wa Yerusalemu, ili tusiendelee kuwa kitu cha aibu tena.”+
17 Mwishowe nikawaambia: “Ninyi mnaona hali mbaya tuliyo nayo, jinsi ambavyo Yerusalemu limeharibiwa na malango yake kuteketezwa kwa moto. Njooni tujenge upya ukuta wa Yerusalemu, ili tusiendelee kuwa kitu cha aibu tena.”+