Kutoka 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+Ni nani aliye kama wewe, unayejionyesha kuwa mwenye nguvu katika utakatifu?+Unayestahili kuogopwa+ kwa nyimbo za sifa,+ Unayefanya mambo ya ajabu.+ Zaburi 35:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mifupa yangu yote na iseme:+“Ee Yehova, ni nani aliye kama wewe,+Anayemkomboa mwenye kuteseka kutoka kwa mwenye nguvu kuliko yeye,+Na kumkomboa mwenye kuteseka na maskini kutoka kwa mwenye kumnyang’anya?”+ Isaya 40:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nanyi mnaweza kumfananisha Mungu na nani,+ nanyi mnaweza kuweka kando yake mfano gani?+
11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+Ni nani aliye kama wewe, unayejionyesha kuwa mwenye nguvu katika utakatifu?+Unayestahili kuogopwa+ kwa nyimbo za sifa,+ Unayefanya mambo ya ajabu.+
10 Mifupa yangu yote na iseme:+“Ee Yehova, ni nani aliye kama wewe,+Anayemkomboa mwenye kuteseka kutoka kwa mwenye nguvu kuliko yeye,+Na kumkomboa mwenye kuteseka na maskini kutoka kwa mwenye kumnyang’anya?”+