Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 42:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Yehova mwenyewe atatokea kama mwanamume mwenye nguvu.+ Ataamsha bidii kama shujaa wa vita.+ Atapaaza sauti, ndiyo, atapiga kelele za vita;+ atajionyesha kuwa mwenye nguvu zaidi juu ya adui zake.+

  • Isaya 49:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hawatakuwa na njaa,+ wala kuwa na kiu,+ wala joto kali na jua halitawaunguza.+ Kwa maana Yeye anayewahurumia atawaongoza,+ naye atawaelekeza karibu na mabubujiko ya maji.+

  • Isaya 52:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana hamtaondoka na wasiwasi, wala hamtaenda kwa kukimbia.+ Kwa maana Yehova atakuwa akienda mbele yenu,+ na Mungu wa Israeli atakuwa mlinzi wenu wa nyuma.+

  • Zekaria 9:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na Yehova mwenyewe ataonekana juu yao,+ na mshale wake utaenda kama umeme.+ Naye Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova atapiga baragumu,+ ataenda pamoja na dhoruba za upepo wa kusini.+

  • Zekaria 10:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nao watakuwa kama wanaume wenye nguvu+ wanaokanyaga matope ya barabarani katika mapigano.+ Nao watajihusisha katika mapigano, kwa maana Yehova yupo pamoja nao;+ na hao wapanda-farasi wataona aibu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki